JIJI LA MOSUL MIKONONI MWA VIKOSI VYA SERIKALI

Jiji la Mosul ambao ni wa  pili kwa ukubwa nchini iraq baada ya Baghadad umelomblewa na vikosi vya serikali kutoka mikononi mwa wanajeshi wa IS baaday kukaliwa na waasi hao kwa muda mrefu sana na kufanya serikali ya iraq kushindwa kutawala eneo hilo.

Toka kushikwa kwa jiji  hilo kubwa na IS  raia wamekuwa wakihangaika kwa kukimbia vita,njaa lakini kwa ukombozi huu mkubwa ulifanyika  unaweza kuleta ahueni kwa wanachi wa maeneo haya kwa kurudi ktk dhughuli za kiuchumi na kutafuata mali kwa wingi kutokana na utulivu wa eneo hilo.

Ikumbukwe kuwa iraq ilipovamiwa na majeshi ya marekani na washirika wake wa NATO mnamo mwaka 20023 kwa kosa la Rais Saddam Hussein kuhisiwa anamiliki silaha za maangamizi ambazo ni hatari kwa usalama wa dunia.

Mji huu umekombolewa baada ya vita ya siku kadhaa na wanamgambo hao htari wa Is.


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "JIJI LA MOSUL MIKONONI MWA VIKOSI VYA SERIKALI"

Back To Top