SERIKALI YASAINI MKATABA KUANZA UJENZI WA RELI KIWANGO CHA KATI

Serikali ya Tanzania imesaini mkataba mpya wa kuanza kwa ujenzi wa reli kiwango cha kati(standard gauge) ambapo kwa awamu ya kwanza utaanza Dar es salaam hadi morogoro na tayari imeshateng shilingi bilioni 7.6 kwa kuanzia makampuni kama rahaco,trl yanahusika ktk mkataba huo,reli hii inakusudiwa kufika mwanza na kigoma na kufika nchi za jirani kama Rwanda,kenya  itatumia zaidi ya trilioni moja (1) taslim.
Ikimalizika treni itaweza kusafiri kwa kasi ya kilometa 160 kwa saa  hivyo sawa na kusafiri dar es salaam hadi norogoro kwa saa moja na robo  tu,na kufika mwanza kwa  saa  saba na nusu tu kitu ambacho kwa treni ya zamani inatumia zaidi ya saa  36 kufika mwanza.
Bank ya Exim ya watu wa China itahusika kutoa pesa za ujenzi wa reli hiyo ambayo ni muhimu kwa uchumi wa taifa  na itarahisisha sana ktk sekta ya uchukuzi na usafirishaji wa watu na bidhaa mbalimbali.


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "SERIKALI YASAINI MKATABA KUANZA UJENZI WA RELI KIWANGO CHA KATI"

Back To Top