
Kumeshuhudiwa kuanguka kwa miti,kuzolewa kwa magari,nyumba na mali nyingi kunakotokana na maji mengi ya mvua kuzingira makazi ya watu,kuporomoka kwa ardhi,kukatika kwa umeme.
Watu zaidi ya elfu kumi(10000) wanahofiwa kutokuwa na makazi wala chakula,miundombinu ya barabara,shule imeharibiwa vibaya na mingine kuzama ktk maji.raisi wa nchi ya peru amatangaza hali ya hatari ktk nchi.
0 Comments "MVUA KUBWA ZA ELI NINO ZASABABISHA MAFURIKO PERU NA BOLIVIA"