
Sehemu hii hatushindanishi urefu wala gharama za jengo hilo bali ni ukubwa wa eneo na wingi wa ofisi zake zinazoptaikana ndani ya jengo hilo moja tu,marekani kumekuwa na majengom mengi sana makubwa ,marefu,kifahari na ya gharama za hali ya juu sana,baadhi ya majengo haya yakiwemo hoteli,makazi,viwanda,viwanja vya michezo na hata maofisi,mfano wa majengo hayo ni kama lile la kituo cha biashara cha dunia WTC kilichoharibiwa na tukio la ugaidi septemba 11 2001,jengo hili lilikuwa na ghorofa zipatazoi 110,white house,empire state building n.k

Mji wa Arlington ktk jimbo la Virginia ambapo ndipo sehemu kubwa ya ofisi za idara ua ulinzi na usalama za marekani zimejengwa huko ikiwemo na kambi ya utafiti ya kijeshi inayojulikana kama Area 51 pia iko huko,zaidi ya hekari 34 zimetumika kujenga jengo hili,urefu wa kwenda juu wa jengo hili ni futi 77 kutoka chini,futi milioni 6.6 ujumla wa eneo lote.

Ofisi hii imengwa jirani kabisa na mto Potomac ili kurahisha ujenzi wake ktk huduma za matumizi ya maji kabla ya ujenzi na hata baada ya ujenzi huo kutumiwa ndani ya jengo hilo kubwa kabisa.
Zaidi ya wafanyakazi elfu 30,000 wameajiliwa ktk jengo hili wengi wao wakiwa ni wanajeshi na watu wa vitengo vya FBI,CIA,NSA na watu wengine wa usalama wapatao elfu 23,000,raia wapato 3,000 wakiwa kama wafanyakazi mbalimbali ndani ya jengo hili.
Zaidi ya mikono ya simum ipatayo elfu 45,000 iko ndanin ya ofisi zilizopo ndani ya jengo hili,kwa mda wa saa 24 tu upokea simu zipatazo laki 280,000 kutoka ndani ya marekani na sehemu nyingine duniani.
Jengo hili lilijengwa kwa makusudio makubwa ya kujipanga vyema ktk kuhakikisha kushinda vita kuu ya pili ya dunia ambayo ilikuwa ikiendelea 1939-1945.
Idara ya ulinzi na usalama ya marekani ndio idara yenye waajiliwa wengi na inasemekana kutmia pesa nyingi sana ktk bajeti ya nchi hiyokwakluwa na mipango mingi ya kiulinzi ktk dunia nzima,ikumbukwe marekani ndio nchi yenye watu wake wa ulinzi karibu ktk eneo duniani pia wao ndio wana kambi za kijeshi ktk nchi mbalimbali kwa kusudio la usalama wa taifa na nchi marafiki zao. baadhi ya nchi ambazo marekani anavyo vituo vya kijeshi ni Japan,South korea hivyo kuifanya idara hii kutumia pesa nyingi ktk kuendesha vituo hivi,kulipa mishahara,vyakula,mafuta,utafiti,malazi na vifaa vya kijeshi.

Marekani utumia zaidi ya dola bilioni 1.6 kwa siku ktk kuendesha mambo yake na dola milioni 250 kwa siku kwa mambo ya kivita pekee huko afghanstan,iraq,syria n.k,zaidi ya dola bilioni 68 kwa ajili ya shughuli za kijeshi zinazoendeshwa kisiri ndani na nje ya marekani,hali hii uifanya marekani kutumia zaidi ya dola 1.46 kwa mwaka toka 2001.
Jeshi la ardhini Ground troop,Anga USAF,wanamaji Navy,DOD vyote ni vitengo vinavyohusika kuratibu shughuli zake zote ndani ya jengo hili kubwa kabisa na hii ndio maana ikalifanya jengo hili kuwa na ofisi nyingi zaidi kuliko jengo lolote duniani hadi sasa licha ya kuwa na umri wa miaka 75 toka kujengwa kwake.



Frankilin D Roosevelt rais wa 32 wa marekani aliyefanikisha ujenzi wa jengo la pentagoni ktk kipindi cha utawala wake.
0 Comments "JE WAJUA KUWA JENGO LA IDARA YA ULINZI MAREKANI (PENTAGON) NDIO OFISI KUBWA KULIKO ZOTE DUNIANI! "