VITA YA TATU YA DUNIA YANUKIA (URUSI,CHINA ZAONYA)

Rais wa Muungano wa kisovieti Vladimir Putin ameionya marekani na washirika wake wa NATO kuwa mipango na maamuzi yeyote yatakayofanywa na washirika hayo ya kwenda kuivamia kijeshi nchi ya Korea kaskazini yenye idadi ya watu milioni 25 tu ni kuitia dunia nzima ktk majanga ya kivita yasiyosahaulika kamwe.

Korea kaskazni ikiongozwa na Kim Jong Un imekuwa ikitengeneza silaha za kinyuklia kila uchao kwa lengo la kujihami na wabaya wake marekani,Japan,Korea kusini zikiwemo na nchi za ulaya kupitia umoja wao wa NATO.

Kwasasa Korea kaskazini imegundua njia ya pekee inayoweza kuikoa nchi na utawala wake kutoangushwa na wababe hao wa dunia ni kutengeneza silaha nzito za kinyklia ambazo ndizom sialaha hatari na za kisasa ktk uwanja wa vita ktk karne hii ya 21.

Korea imekuwa ikifanya majaribio ya mabomu yake ya kinyuklia karibu kila wiki toka mwanzoni mwa 2016 hadi hivi sasa 2017,hali hii imekuwa ikiziweka nchi za Japan na Korea kusini ktk hali ya taharuki na wasiwasi mkubwa wa usalama wao ktk nchi hizi.

Marekani na washirika wake wa NATO wameionya nchi hiyo kuwa kwasasa alipofikia wao wako tayari kwa vita juu yake,kauli hii ambayo imepokelewa tofauti na Uchina na Urusi na kuzionya nchi hizi kuwa maamuzi  hayo ni ya hatari wa usalama wa sayari yetu hii kwakuwa utawala wa korea kaskazini umeshagundua njia pekee ya kujilinda na mambo yaliyowapa Saddam Hussein wa iraq,Muamar Ghadaf wa libya ni kutengeneza zaidi silaha za kinyuklia kwa wingi na kasi kubwa.

Marekani na nchi za ulaya imeshaiwekea vikwazo lukuki nchi hii ya bara Asia bila mafanikio yeyote yale na wiki iliyopita tu korea kaskazini imefyatua kombola lake la masafa marefu na kuangukia ktk pwani ya Hakaido ya Japan.



Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "VITA YA TATU YA DUNIA YANUKIA (URUSI,CHINA ZAONYA)"

Back To Top