
Maneno haya makali yamesemwa na Rais Donald Trum akiwa ktk mkutano wa Umoja wa mataifa uliofanyika ktk jiji kubwa la New York lililopo nchini mwaka Marekani,pia ameionya Iran kwa tabia yake ya kuharibu usalama wa mashariki ya kati kwa kusaidia vikundi vya kigaidi vinavyovamia maeneo mengi na kutesa watu.
Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Guterres ameiomba dunia kuacha tabia ya dunia kugawanyika ktk swala la amani kwani kwa sasa hali ya usalama wa dunia umeshagawanyika ktk makundi mengi hivyo aliwaomba wanachama kuwa kitu kimoja kuwa mshikamano ktk swala la kuleta amani duniani.
0 Comments "KOREA KASKAZINI,IRAN ZAONYWA NA KUBEZWA NA MAREKANI "