
Wagombea uraisi kutoka
vya vya upinzani na chama tawala cha Jubilee wamejitokeza ktk kampeni hizo zilizodumu kwa mda mrefu zikiwa na malalamiko kwa rais Uhuru kenyatta kuhisi kuwa Tanzania inaweza kuhusika kufanya udanganyifu ktk matokeo ya baadae ya uchaguzi wa kwa kutka kumwingiza Raila odinga madarakani kwa kisa cha mgombea huyo wa upinzani kuonekana mara kadhaa kuwa karibu ssna na raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mh.John Joseph Magufuli nchini Tanzania.
Wakenya zaidi ya milioni 19 wamejiandikisha na kukidhi vigezo vya kupiga kura ktk uchaguzi wa mwaka huu 2017.

Kenya kumekuwa na tatizo la ukabila ambalo linasumbua nchi hiyo kwa mda mrefu hassa kwa makabila ya wakamba,wakikuyu na wajaluo ambao kila kabila moja wapo linahitaji kushika ngazi za juu za serikali hiyo.
Kenya imekuwa ndio nchi yenye uchumi mkubwa ktk nchi za afrika mashariki na ndio ilikuwa mbali zaidi ktk maendeleo ya kiviwanda,ktk kilimo piakenya iko mbali ukilinaganisha na nchi nyinginezo.

Jumanne ijayo ndio siku rasmi kwa wakenya kufanya uchaguzi huo mkuu ambao uanaweza kumaondoa au kumrudisha madarakani Uhuru Kenyatta.
0 Comments "UHURU AU ODINGA KUJULIKANA JUMANNE IJAYO KENYA"