
Chuo hicho kitakachopewa jina la kiongozi huyo mkongwe kabisa barani afrika mwenye umri wa miaka 93 sasa kitakuwa na jina la ROBERT MUGABE UNIVERSITY,kitakachojengwa ktk mji wa Mazowe nje kidogo mwa jiji la Harare .
Wataalam wa mambo ya uchumi wanahoji na kushangazwa kuwa uchumi wa nchi hiyo kwasasa umetetereka sana toka mwaka 2000,sasa ni wapi au vyanzo gani vitakavyowezesha kupata pesa yote nyingi kiasi hiko kwa mapato ya ndani pekee.

0 Comments "MUGABE KUFA KISHUJAA KWA KUJENGA CHUO KIKUU KWA DOLA BILIONI MOJA "