
Nollywood lenye makazi yake maalum ktk jiji la Lagos nchini Nigeria limeshika nafsi hiyo kutokana na umaarufu wake barani afrika na hata duniani kwa ujumla kwa jinsi ya aina zake za filamu zinazolenga zaidi maisha halisi ya mwafrika hasa kwa nchi za afrika magharibi.

Shrika la tatu na kubwa na lianaloongoza kwa kutengeneza filamu nyingi na bora zaidi duniani ni la Bollywood la nchini india lenye makazi yake mji wa Mumbai.

Miongoni mwa baadhi ya wacheza filamu wa kinaigeria
Miongoni mwa wacheza filamu wa kihindi
0 Comments "SHIRIKA LA FILAMU LA NOLLYWOOD LASHIKA NAFASI YA PILI KWA KUTENGENEZA FILAMU NYINGI DUNIANI"