REEMA LAGOO NYOTA ILIYOZIMIKA GHAFLA BOLLYWOOD

Jina hili la Reema Lagoo haliwezi kuwa adimu kwa wapenzi wa filamu za kihindi kuanzia miaka ya 1980 na kuendelea,mwanadada huyu amefariki ghafla jana mei 18 2017 kwa mstuko wa moyo ktk hospitali ya  Kokilaben Dhirubhai Ambani iliyopo jiji la Mumbai inchini india.
Reema alizaliwa 1958 na kufariki jana mei 18 2017 akiwa na umri wa miaka 59,Reema alishawahi filamu nyingi na nyota wengi maarufu wa india bollywood kama Sharkhan ktk filamu kama Kuch kuch hota ha ya 1998,Maine pyar kiya 1989,Hum Aapke  Haain 1994.

Lagoo ameacha mtoto mmoja na juhudi zake ktk kunyanyua soko la filamu za kihindi kamwe hazitosahaulika kamwe kwa pengo kubwa aliloliacha huko bollywood India na kupandisha hadhi ya filamu hizo hasa kwenye miaka ya 1990.


Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comments "REEMA LAGOO NYOTA ILIYOZIMIKA GHAFLA BOLLYWOOD"

Back To Top