
Uingereza,uholanzi pia ni miongoni mwa nchi zenye kuongozwa kwa mtindo huo wa himaya za kifalme,Wafalme na malikia wa nchi hizi uendelea kuongoza nchi kwa kurithishana kizazi baada ya kizazi na mtu uendelea kuongoza hadi pale atakapokufa.
Japan wameamua kuweka sheria ya kumuwezesha kiongozi wao huyo wa tabaka la juu kabisa endapo kama atahitaji kujiuzulu kutokana na mambo mbalimbali ikiwemo umri mkubwa,magonjwa ya mda mrefu kuweza kujiuzulu yeye mwenyewe.

Japan ni miongoni ya mataifa yalioendelea zaidi ktk viwanda,sayansi na teknologia ya hali ya juu ikiwa na uchumi wa juu kabisa,wasomi wengi na miji iliyopangiliwa vyema.
Japan maarufu kwa kutoa magari Toyota,pikipiki za honda na vifaa vya aina nyingi vya umeme.
Mtendaji mkuu wa shughuli za serikali ni waziri mkuu ambae kwasasa anaitwa Shinzo Abe,Serikali hii ya japan inafanya kazi zake ktk mji mkuu wa Tokyo.


0 Comments "JAPAN YAPITISHA MSWADA WA KUMRUHUSU MFALME WA HIMAYA HIYO KUJIUZULU"