MVUA KUBWA ZAWAHAMISHA WAKAZI 2000 CANADA

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali dunia kwa mwaka huu zimeonakana kuleta athari kubwa kwa watu,makazi na miundo mbinu,Huko Canada ktk miji mikubwa ya Montreal na Quebec imekubwa na dhahama hiyo baada ya mvua zinazonyesha mfululizo zikimbatana na pepo kali.

Zaidi ya miji na majiji 140 ndani ya Canada yameathiriwa vibaya kwa kujaa maji maeneo yasiyo rasmi na kuzifunika nyumba nyingi.

Mafuriko haya yamesababisha kupotea kwa watu 3 a mmoja kufa kwa kuzolewa na maji yaendayo kasi,hata hivyo serikali ya Canada imesambaza zaidi ya wanajeshi 1,000 ktk miji mbalimbali kwa ajili ya kutoa misaada na uokoaji kwa waathirika hao.

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "MVUA KUBWA ZAWAHAMISHA WAKAZI 2000 CANADA"

Back To Top