URUSI YASHEHEREKEA USHINDI WA KUUANGUSHA UTAWALA WA WANAZI 1945

Mataifa kadhaa hasa yale yalioishinda kambi ya WANAZI iliyokuwa chini ya Adolf Hitler yaani Ujerumani,Japan,Italy,Austria hungary, walipopiagana ktk vita ya dunia ya pili na kambi ya Urusi,Uingereza,Ufaransa wakiasidiwa na taifa la mareakani ktk vita hiyo na Hatimaye kufanikiwa kushinda vita hiyo mwaka 1945

Sherehe hii inayoazimishwa kila mwaka mwezi mei imefanyika na mataifa hayo washindi kama ufaransa,marekani,uingereza na urusi kwa mbwembwe kubwa za kuonyesha gwaride mbalimbali za vikosi vya majeshi yao,silaha na mitambo mizito ya kivita.

Vita hii imegharimu roho za watu milioni 80 kwa kuuawa kwa vita,njaa na magonjwa yaliyokuwa yamekithiri kwa kipindi hiko. Sherehe hizi uhudhuriwa na wanajeshi wastaafu baadhi waliokuwepo ktk vita au uwanja wa mapambano (Veterans)

Sherehe hizi ni za kutimiza miaka 72 toka kumalizika kwa vita hiyo na kuungusha utawala huo wa WANAZI na kuachwa wasijue adolf Hitler alipo potelea mpaka hii na wengine kuamini labda alikimbilia mafachoni argentina au kujia kwa kuunguzwa moto ili usipatikane hata ushahidi. vita hii ya pili ya  dunia ilipiganwa baina ya 1939-1945.

Ikumbukwe kuwa vita ya kwanza ya dunia iliyopiganwa mwaka 1914-1918 iliondoa uhai wa watu wapatao milioni 17.

















Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "URUSI YASHEHEREKEA USHINDI WA KUUANGUSHA UTAWALA WA WANAZI 1945"

Back To Top