ALIYEFANYA MAUAJI YA SIRI KWA WATU 9 AKAMATWA

Yule muuaji aliyekuwa akitafutwa kwa udi na uvumba Aaron Saucedo mwenye umri wa miaka 23 hatimaye polisi wamefanikiwa kumtia nguvuni baada ya kumsaka kwa udi na uvumbi toka alipoanza mauaji yake mwaka 2015.

Muuaji huyu anayetumia bunduki na kupiga maeneo ya kichwani na kuwatesa watu kwa adhabu mbalimbalki hadi kupoteza uhai wao, Kijana huyu mpaka kukamatwa kwake alishafanya mauaji ya watu 9 ktk sehemu nyingi ndani ya jimbo la Arizona kama Phoenix.

Polisi bado wanaendelea kumuhoji mtuhumiwa sababu za yeye kuwa anafanya mauaji hayo kwa watu na maeneo tofauti hasa kwa mwaka 2016,umri ya watu aliokuwa akiwaua walikuwa ni baina ya miaka 12-55.

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "ALIYEFANYA MAUAJI YA SIRI KWA WATU 9 AKAMATWA"

Back To Top