

Mpaka sasa kikundi kinachoshukiwa kuhusika na mashambulio hayo yanayotokea mara kwa mara ni Taliban,kwani mara nyingi Taliban wamekuwa wakijihusishan na vitendo hivi vya kuvizia misafara ya kijeshi au kwenda ktk vituo vya kijeshi na kufanya mashambulizi mabaya abisa na kuua watu wengi.
0 Comments "MSAFARA WA KIJESHI WASHAMBULIWA KWA MABOMU AFGHANSTAN"