
Aina na watu wanaoshiriki vitendo hivi vya kishoga na usagaji vimekuwa vikishamiri duniani kote hasa kwa mataifa ya ulaya na marekani ambako vilianza miaka mingi,na imefika mahali hata watu maarufu kama wanamuziki,wachezaji wa mpira na waigizaji wa filamu wamekuwa wakijitangaza kuwa wao wanajihusisha na vitendo hivyo.

Waholannzi wameandamana baada ya kuona mashoga wengi wakipigwa,wakitukanwa,wakinyanyaswa,wakiuawa na kutekwa nyara na watu wasiojulikana na kupelekwa kusikojulikana na hii imepelekea watu maarufu kuungana ili kupinga hatua hii sehemu mbalimbali hasa huko Chechnya kunakoongoza kwa mauaji na upotevu wa mashoga wengi.
0 Comments "MASHOGA WAANDAMANA UHOLANZI KUPINGA,MAUAJI,MATESO,MANYANYASO JUU YAO"