KAHAWA: JE WAJUA SIRI INAYAPOATIKANA NDANI TUNDA HILI?

Inawezekana mmea na tunda hili la kahawa lisiwe maarufu sana miongoni mwa watanzania wengi ila hii iko tofauti kbisa kwa watu kutoka bara la amerika,asia na ulaya kwani ni miongoni mwa tunda linalotumika kwa kiasi kikubwa na watu wengi sana kwa kupendelea kinywaji chake na vyakula mbalimbali vinavyotokana na tunda hili.

Mmea huu kwa mara ya kwanza uligundulika ktk karne ya 11 huko ktk miinuko ya ethiopia barani afrika na kupewa jina la utani kama (magical fruit) mmea huu ulianza kutumika kama dawa na tiba kwa ajili ya magonjwa mbalimbali.

Kahawa imegawanywa ktk mimea ya aina mbili kuu yaani Robusta na Arabica licha ya kuwepo zaidi ya aina 12 za mimea hii,Aina ya robusta inamea zaidi maeneo ya afrika na ile ya Arabica inastawi zaidi maeneo ya mashariki ya kati,Arabica ndio kahawa bora zaidi duniani kuliko ile ya robusta.

Kahawa ndio bidhaa ya pili kwa thamani ya kifedha ktk kuuza,kununua na hata ktk mapato baada ya mafuta kutoka mashariki ya kati na baadhi ya nchi chache duniani,kahawa inamea zaidi ktk kanda za kitropiki za kansa na kaprikoni ktk nchi zisizopungua 50 duniani uzalisha zao hili wakiongowa na Brazil wanaozalisha 30% ya kahawa yote.

Nchi nyingine ni kama tanzania,ethiopia,india,mexico,guetamala,honduras,indonesia,uganda n.k
Nchi ya marekani inaagiza kiasi kikubwa cha kahawa kuliko taifa lolote duniani,kwa siku moja zaidi ya vikombe bilioni mbili (2 billion) vya kichwaji hiki unyweka ulimwenguni kote.

Kahawa utumika zaidi kama kinywaji na kuchanganya na aina mbalimbali za vyakula,pia kahawa inaamika kumkinga mwanadamu anayoitumia kupata magonjwa kama ya Kisukari namba 2,kiharusi,mawe ya tumbo,kansa ya utumbo,kansa ya mapafu,kansa ya maziwa,sukari ya kushuka,kushuka kwa presha,kupunguza unene,maumivu ya kichwa.

Kahawa ia kilevi ambacho inamfanya mtu anayetumia kuwa mtumwa wa kuhitaji kutumia mara kawa mara (Addiction),aina hii hii ya kilevi inafahamika kama Caffein ambayo pia inapatikana ktk chai ya kawaida. aina hii ya kilevi inaamina pia kusababisha baadhi ya magonjwa kwa mwanadamu hivyo wataalam wanashauri kutokutumika sana kwa mda mrefu kwani inaweza kumletea madhara ya kiafya kama kuongeza mapigo ya moyo,kichefuchefu na kutapika,maumivu ya kichwa.

Ktk nchi etu kahawa niu zao kubwa na linalo ipatia serikali pesa nyingi za kigeni kwa kuuza kwenye soko la dunia.

Kahawa inatumika sana ktk nchi za ulaya kwenye baridi kali,asia,marekani na afrika asubuhi,mchana na usiku kama kuchangamsha mwili.





Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "KAHAWA: JE WAJUA SIRI INAYAPOATIKANA NDANI TUNDA HILI?"

Back To Top