NEW YORK,NEW JERSEY NA MICHIGAN KUKUMBWA NA KIMBUNGA CHA BARIDI KALI

Zaidi ya majimbo 49 kati 52 ya nchini marekani yametangazwa kukumbwa na kipindi kirefu caha baridi kali zitakazoleta barafu zenye unene ardhi ambao utaathiri miundombinu ya barabara na kufanya kushindwa au kupitika kwa taabu kutokana na barafu hizo,kushindwa kwa kufanya kazi kwa mifumo ya maji safi na taka ktk miji hiyo,vifo vya watu hasa wagonjwa,watoto na wazee ambao baridi kali linaweza kuathiri mifumo yaom ya damu na upumuaji kwa haraka.

Majimbo ya newyork na michigan yametwngazwa kuwa ndio majimbo yatakayoathiriwa zaidi na baridi hiyo kali na kuwaasa watu kuchukua tahadhari,baridi hii ina uwezo wa kuifunika nyumba au kuzuia milango kutofunguka kabisa,magari kuteleza au kushindwa kuwaka kabisa ikiwemo na ndege kushindwa na shughuli zake za kawaida kwa kushindwa kuruka na kutua ktk viwanja vilivyo na barafu nene.

Majimbo yatakayokumbwa na adha hii ya baridi kali iliyopewa jina la (kimbuka baridi stella) ni yale majimbo ya kaskazini mashariki mwa marekani pwani ya bahari ya atlantiki,kwasasa hali ya hewa ya mji wa newyork ni 32f sawa na nyuzi 0 sentigredi ikiwa ni baridi kali kabisa,hii ni aina ya mvua zinanyesha huko kwa kuanguka barafu.



Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comments "NEW YORK,NEW JERSEY NA MICHIGAN KUKUMBWA NA KIMBUNGA CHA BARIDI KALI"

Back To Top