
Baadhi ya wanachama ambao wameonekana kama kuisaliti CCM hasa ktk uchaguzi wa mwaka 2015 kwa kwenda tofauti na matakwa ya chama na kumladhimu mwenyekiti wa chama hiko Mh. John Pombe Magufuli kusema wale wotw waliokwenda kinyume na maadili ya chama lazima washughulikiwe kikamilifu.
Wafuatao chini hapo ndio waliofukuzwa uanachama na wengine kupewa onyo kali
0 Comments "MKUTANO MKUU CCM: VIGOGO WASALITI WA CCM WAFUTWA UANACHAMA."