MKONGWE WA MZIKI WA (ROCK AND ROLL) CHUCK BERRY AFARIKI

Mwanamuziki Charles Edward Undarson maarufu kama Chunk berry maarufu ktk mziki wa mitindo ya Rock and roll iliyowahi kutamba sana miaka ya 1960-1980 huko ulaya na marekani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 90.

Chuck Berry alizaliwa october 18 1926 St. louis  missouri marekani na kuafariki jana Machi 18 2017,mwanamuziki huyu alijulikana kwa kucheza na kuimba kwa mbwembwe nyingi anapokuwa jukwaani na kuvutia sana waangaliaji wa matamasha ya muziki wake.

Licha ya kujua kimba,kucheza pia aliweza kupiga gitaa na kutumia vyombo mbalimbali vya mziki huku akiwa anacheza,Charles alioa mke wake wa kwanza mwaka 1948 aliyefahamika kama Themetta Toddy suggs.

Baadhi ya nyimbo zake maaaruf ni kama zile za You can never tell,MyDing a Li na Johnnie b. goode.

Charles aliwahi kuacha ujumbe ktk ukurasa  wake wa facebook akisema "ikiwa siku moja dunia itaamua kubadlisha jina la mziki wa Rock and roll basi wauite "Chuck beryy" ikiwa ni jina lake la utani.


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "MKONGWE WA MZIKI WA (ROCK AND ROLL) CHUCK BERRY AFARIKI "

Back To Top