MARUFUKU KUTUMIA JINA (GODFATHER) NJE YA MAMBO YA KIDINI

Jina (godfather) lina maana ya 'mungu baba' jina hili linapatakina ktk moja ya imani za kidini  hasa huko Italia mji wa vaticany ambako ndio makao nmakuu ya dini ya roman catholic.

Kwa kuanzia miaka ya 1960-1990 jina hili lilitumika vibaya na makundi ya uhalifu duniani yalikuweko huko italia maarufu kama (mafia gang groups),nmareakni na hata japani yalifhamika kama (yakuza) na kuanza kulitumia jian hili ktk shughuli zao kihalifgu kama uuzaji,usambazaji wa madawa ya kulevya,kumbi za starehe na kuuza wanawake,mauaji na wizi ulipindukia mipaka na kufanya nndio njia kuu za kuendeleza makundi hayo na kukuza uchumi wa makundi hayo ya kihalifu.

Vikundi hivi si vigeni sana kwani hata nchini kwetu vimekuwa vikiendelea kukua mfano Panya road,mbwa mwitu.
Watu wenye uwezo mkubwa au mabosi wanaomiliki makundi haya makubwa yenye mitandao yao ya shughuli hizo duniani kote wao wanafamika kama (Godfathers) kuwa ni jina lililotumika kama kuwaweka ktk hadhi ya juu sana ktk utawala wa makundi yao.

Viongozi hawa Godfather wana nguvu kubwa ya kiuchumi kwa kumuliki majengo makubwa ya biashara na nyumba nyingi za kifahari ndani wakiwemo wanawake na watumwa wa aina mbalimbali kwa ajili ya kuastarehesha wakubwa hao.

Watu hawa wana uwezo wa kuimiliki sreikali na vitengo vyake vya usalama kwa kutumia rushwa za pesa au vitisho vya hali ya juu na hata wakati mwingine kuanzisha fujo na mauaji kwa watu wa kawaida na viongozi wa idara za usalama kwa kupenyeza watu wao au kushirikiana na watu walioko ndani ya serikali.

Vikundi hivi viliisumbua sana marekani,italia,brazali,mexico,jamaica,colombia,bolivia na sehemu kubwa ya ncvhi za bara ulaya kwa kuweza kufanya biashara nna vitendo kinyume naa sheria kama ubakaji,umalaya,muaji,ujambazi,uuzajin na utumiaji wa madawa ya kulevya,kutumia rushwa kwa watumishi wa serikali na kufanya serikali kushindwa kusimamia haki.

Makundi haya yalihusishwa na imani za dini za kishetani kwa jinsi ya mfumo wao wa maisha ulivykuwepo.

Kutokana na hali hii ya kulitumia vibaya jina la Godfather ktk pombe na mambo yaliyo kinyume na maadili viongozi haon wameamua kupiga marufuku matumizi mabaya kwa jiana la Godfather kwani hilo ni jina maalum na takatifu ktk dini na si kwa wahuni kama Pablo escobar na Carlos.

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comments "MARUFUKU KUTUMIA JINA (GODFATHER) NJE YA MAMBO YA KIDINI"

Back To Top