MANGE KIMAMBI MATATANI

Mtanzania anayeishi Los angeles nchini mareakni ajulikanae kwa majina ya Mange Kimambi mwenyee umri wa miaka 34 amejikuta matatani baada ya vyombo vya usalama vya tanzania kuanza kufuatilia nyenendo zake.

Mtanzania huyu amabye ni maarufu sana kwa kuonekana ktk mitandao kama ya Facebook,Twitter,Jamii forums,Instagram na mingine mingi,sifa yake kubwa ni tabia ya kuwa na uwezo wa kujua mambo mengi ya siri za ndani za watu kutoka Tanzania hasa watu maarufu na viongozi wakubwa wa taifa hili na kuweza kuzaniaka hadharani ktk mitandao hiyo ya kijamii.

Tabia yake hii ya kuwa na uwezo wa kutambua mambo mengi ya siri ya watu mbalimbali licha ya yeye kutokuwepo nchini humu inwashangaza watu wengi hasa vyombon vya usalama na kuhusi labda kuna watu ambao wako ndani hasa ktk idara nyeti za juu za serikali anashirikiana nao ktk kuvujisha habari hizi ambazo nyingine za kwelin na nyingine za kuzua.

Mwanadada huyu kwasasa ana watoto wapatao watutu ktk ndoa tatu alizoishi,aliolewa na mrekani ajulikanae kam Lowery mwaka 2008,kabTanzania Mange kimambi aliishi Mkoani Dar es salamm eneo la Mbezi beach Afrikana na ana elimu ya kiwango cha Masters na aliwhi kufanya kazi baclays,standard chaerterd,Boa bank.

Sababu kuu za mange kimambi kujikta matatani ni aina ya habari anazoziwekan ktk mitandao mablimbali kuonekanamkukera au kuaondoa usiri wa mtu na wakati mwingine kujikuta watu wakiingia ktk migogoro.

Wakati mwingine kumekuwa kukizuka lugha mbaya na chafu za matusi anazozitoa yeye au watu kumatukana yeye kwa mambo anayoyaweka ktk mitandao hiyo ya kijamii



.

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "MANGE KIMAMBI MATATANI"

Back To Top