MAMA SALMA KIKWETE AULA UBUNGE Author hassan Thursday, March 2, 2017 Rais Magufuli jana amemteua Mama salma kikwete mke wa rais wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete baina ya 2005-2015 kuwa mbunge,Hivi karibuni Rais Magufuli amekuwa akifanya uteuzi wa viongozi wa ngazi za juu kama mabalozi,wakuu wa idara mbalimbali. Share : Facebook Twitter Google+ Previous Newer Post Next Older Post
0 Comments "MAMA SALMA KIKWETE AULA UBUNGE"