
Macguinness alizaliwa 23 mei 1950 huko Derry na kufariki 2017 wakiwa na umri wa miaka 66,Macgunness alikuwa mpigania haki za kibinadamu kwa mda mrefu huko kwa kupitia chama cha Repulican,lakini pia alishakuwa kamanda wa jeshi la ireland. alishwahi kukutana na malkia Elizabeth wa pili.
Nyadhifa nyingine alizowahi shika ni Uwaziri mkuu msaidizi,macguiness alibahatika kupata watoto wanne na mkewe Benedette.
0 Comments "MACGUINNESS: MPIGANIA HAKI ZA BINADAMU WA IRELAND KASKAZINI AFARIKI"