Mbubge wa Arusha Mjini Godless Jonathan Lema anayekabiliwa na makosa ya uchochezi na kauli mbaya kwa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Ndugu John Joseph Magufuli kwa kumwambia kuwa atakufa kabla ya mwaka 2020.
Ktk kesi yake inayomkabili ilikuwa imezuiliwa kabisa kuwa haina dhamana na kusababisha kuwekwa ndani kwa mda mrefu sasa lakini sasa kutokana na shauri la leo .
Mahakama kuu ya arusha imeamua kumauchia kwa dhamana ya shilingi milioni tatu taslimu.
Related Post:
- KAMATI YA PILI YA UCHUNGUZI WA MADINI (MAKIMIKIA) KUWAVUA MATAULO VIGOGO LUKUKI WA SERIKALI
- KUBENEA ASEMA MWAKYEMBE ANA CHUKI BINAFSI NA MAGAZETI YAKE
- ALIYEKUWA MGOMBEA URAIS ACT WAZALENDO BI.ANNA MGHWIRA AWA MKUU WA MKOA KILIMANJARO
- RIPOTI YA PILI YA MAKINIKIA:WALIO HUDUMU WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUANZIA 1998 KUKIONA
- KIGOGO WA IPTL,RUGEMALIRA WATIWA MKONONI NA TAKUKURU
0 Comments "LEMA AACHIWA HURU KWA DHAMANA"