Watu wangi tumekuwa tukizani kuwa marekani (USA) Ndio Taifa tajiri zaidi duniani,lakini wengi wetu tumefikia mahali mtu anaposafiri kuelekea mareakani (USA) tunasema amekwenda ulaya.

Nchi ya kwanza kwa kuwa na maendeleo na Tajiri ni Ujerumani kwa bala ulaya na nchi ya Moldova ya ulaya mashariki ikiwa ndio nchi masikini kabisa bara ulaya. Nchi ya za ulaya magharibi nyingi zimepiga hatua kubwa za maendeleo kuliko zile za ulaya mashariki.
Utajiri wa nchi hizi 20 kwa uchumi utapimwa kwa mtindo wa (GDP).
1.Qatar ndio nchi tajiri kabisa duniani ikiwa inamiliki dola Trilion 140,649
2.Luxembourg trilion 97,662
3.Singapore tilion 82,763
4.Kuwit trilion 73,246
5.Brunei trilion 71,185
6.United arab emarates trilion 67,674
7.Norway trilion 64,856
9.USA trilion 54,630
10.Ireland trilion 48,755
11.Natherland trilion 47,633
12.Austria trilion 46,223
13.Germany trilion 46,401
14.Australia trilion 45,925
15.Dernmark trilion 45,537
16.Bahrain trilion 45,500
17.Sweden trilion 45,297
19.Iceland trilion 43,993
20.Belgium trilion 43,435
1 Comment "JE WAJUA? QATAR NDIO NCHI TAJIRI ZAIDI DUNIANI"
Umesahau Tanzania nyo IMO ktk 10 bora
Au unaionea wivu