DK.SHEIN AIONYA ZFA KUTOKWENDA MAHAKAMANI

Rais wa serikali ya mapinduzi ya Zanzibar Dk.Mohamed Shein amekionya chama cha soka visiwani humo (ZFA) kuacha kabisa tabia ya kupeleka migogoro vya kichama au klabu za mipiara mahakamani kwani imekuwa ikishusha hadhi ya chama na soka la visiwa hivyo na kutumia mda mwingimktk kutatua migogoro baada kufana mambo ya maendeleo ya soka.

Hatua hii imechukuliwa baada ya zanzibar kupata nafasi ya kipekee na chama cha mpira wa miguu duniani (FIFA) hivi karibuni na kuwakilisha visiwa hivyo kipekee badala ya kutegemea kuwakilishwa kama zamani na chama cha soka Tanzania (TFF).

Rais shein alishangazwa na tabia ya klabu hizo kuwa na tabia ya kukimbilia mahakamani badala ya kutatua migogoro yao wenyewe,hata hata hivyo  Dk.shein ameahidi kusaidia chama hicho cha (ZFA) ili kwenda mbele kimataifa ktk soka.Serikali ya Dk. shein emetimiza mwaka mmoja sasa toka kuchaguliwa upya baada ya kurudiwa kwa uchaguzi.


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "DK.SHEIN AIONYA ZFA KUTOKWENDA MAHAKAMANI"

Back To Top