ALIYEKUWA RAIS WA MISRI:HOSNI MUBARAK AACHIWA HURU

Mnamo Februari 11/2011 alieykuwa rais wa taifa la misri aliachia madarak bada ya maandamano yaliyodum kwa mda mrefu kupinga utawala wake na hatimae akaangushwa na bbadae kuhukumiwa kuhukiwa miaka 3 jela baada ya kuwekwa kizuizini kwa miaka mitatu kabla ya hukumu hiyo kupita.

Hosni Mubarak mwenye umri wa miaka 88 kwasasa anarudi uraiani kuishi maisha yake ya kawaida baada ya nchi hiyo kupita ktk misukosuko ya kupinduliwa kwa Mohamed mosri na kushikwa kwa madaraka kwa aliyekuwa mkuu wa jeshi  Abdel Fattah al sis ambae ndio rais wa nchi hiyo ya afrika kaskazini.


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "ALIYEKUWA RAIS WA MISRI:HOSNI MUBARAK AACHIWA HURU"

Back To Top