BENKI YA DUNIA KUIKOPESHA TANZANIA BILIONI 188 UJENZI A FLYOVER DAR

Rais John Pombe Mgufuli akishirikiana na na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh.Paul Makonda leo 20 machi kuanzia asubuhi hadi mchana huu walikua ktk shughuli ya kuzindua mradi a ujenzi wa Makutano ya barabara eneo a ubungo jijini Dar es salaam.

Ujenzi huo unaotegemewa kuanza hivi karibuni eneo hilo utagharimu zaidi  dola za kimarekani bilioni 188 ambazo zitatolewa kwa mkopo na Banki ya dunia (World bank(WB) kwa riba ya asilimia 0.5%.

Ahadi hiyo lyotolwa na rais wa benki hiyo ya dunia Dokta Jim Yong Kim akiwa kama mualikwa ktk uzinduzi huo wa mradi huo wa Ubungo Interchange,mradi huu unaenda sambamba na ule wa BRT wa mabasi yaendayo kasi ambao umeshaanza kuto huduma zake kwa wakazi wa mbezi,kimara,ubungo,manzese,mabibo,magomeni,kinondoni kuelekea mjini kati yaani kaiakoo na posta.

Rais Magufuli aliongeza kuwa fedha zitakazokopeshwa pia ni zile za mradi wa maji kwa mikoa ya mtwara,arusha na dodoma.

Miradi hii iko pia eneo la Tazara na meneo mengine ya jiji hilo la Dar es salaam hasa maeneo sumbufu y makutano ya Barabara.

Rais aliwasisitiza watanzania kuacha majungu na mambo ya mitandao ya kijamii yanayoichafua serikali na kupoteza mda mwingine kwa hayo,pia Rais aliongeza kuwa wale wote wanaotaka kumpangia nini cha kufanya ktk serikali yake yeye hana mda huo daima na zaidi watakuwa wanapoteza ma kwakuwa yeye haongozi nchi ka matakwa na shinikizo za watu za kisiasa.

Rais amempa nguvu mpya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kuwa yeye asijali na aendelee kufanya kazi kwa spidi na nguvu zote bila kusita ala kuwa na shaka.

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "BENKI YA DUNIA KUIKOPESHA TANZANIA BILIONI 188 UJENZI A FLYOVER DAR"

Back To Top