
Hali imeleta ahuni kwa wanawake ambao kwa miaka mimngiwao ndio wamekuwa wahanga wa kutumia aina mbalimbali za njia za kuzuia mimba au kupanga uzazi,aina hii ni kama vidonge,vijiti,sindano na hata mipira ya kike,njia hizi zote huathiri baadhi ya wanawake kimifmo na kiafya wakati wanaume wakiwa wanatumia mipira ya kiume na vijiti pekee sasa njia ya tatu hii yaongezwa kwa wanaume ili kurahisha uzazi wa mpango kwa familia.
0 Comments "WANAWAKE SASA KUPUMZIKA KUTUMIA NJIA ZA KUZUIA MIMBA BAADA YA KUPATIKANA KWA WANAUME"