VIONGOZI UMOJA WA ULAYA WAKUTANA VISIWA VYA MALTA

Baada ya mtikisiko wa umoja huo kuliko sababishwa na kujitoa kwa taifa la uingereza kuwaruhusu wananchi kupiga kura juu ya kuendelea kubaki au kutoka ktk umoja huo.hatimae wananchi waliamua kujitoa ktk umoja huo rasmi mwaka jana 2016.
Hatua hii ileta mvutano mkubwa ndani ya serikali ya uingereza na hata ndani ya umoja ulaya wenyewe na kupelekea kwa waziri wa wakati huo david cameroon kujiuzulu  kutoka chama cha labour na kuingia kwa waziri mpya mwanamke theresa may kushka madaraka.
Umoja wa ulaya unakutana visiwa vya malta ukiwa na pengo la kutokuwepo mwanachama mmoja ambae ni uingereza.wakati huohuo ujio wa raisi mpy

a wa marekani na sheria zake mpya pia unaleta wasiwasi ktk umoja huo.

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "VIONGOZI UMOJA WA ULAYA WAKUTANA VISIWA VYA MALTA"

Back To Top