TRUMP:ATOSWA KWA MARA YA PILI KTK UTEUZI

Rais wa marekani Donald trump amejikuta ktk akati mgumu zaidi ndani ya siku mia moja toka kuapishwa kwake kama rais wa taifa hilo toka 20/1/2017 baada ya kumteua Philip Bilden kuwa waziri wa jeshi la wanamaji kisha kuukataa uteuzi huo mda chache tu baada ya uteuzi huo na kujitetea kuwa ameamua  kufanya hivyo kwa kile alichodai kuwa hatoweza kufanya vyema ktk cheo hicho kutokana na maisha yake binafsi na ya siri pamoja na biashara zake.

Trum amejikuta ktk wakati mgumu kufuatiwa kwa kujiuzulu  na kukataliwa kwa uteuzi wake kwa baadhi ya viongozi.

Kikubwa kinachoonekana ni juu ya sera zake kali za uhamiaji,za usalama na za kiuchumi ambazo zinapingana na sera za umoja wa ulaya na NATO,trump mekuwa akipingwa na wanachama wa mlengo wa kushoto wa Democratic kwa kusema anachokifanya  Trump ni uhalibifu wa taifa kwa sera zake mbovu hivyo wana wajibu wa kukemea na kusimamia nchi yao kwani kukaa kimya ni hatari na siku moja wamarekani watawauliza wao walikua wanafanya nini wakati Trump anafanya hayo yote.

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comments "TRUMP:ATOSWA KWA MARA YA PILI KTK UTEUZI"

Back To Top