QATAR AIRWAYS WAANZISHA SAFARI NDEFU ZAIDI KWA NDEGE YA ABIRIA KUWAHI KUFANYIKA DUNIANI

Shirika kubwa la ndege la nchi ya kairabu lijulikanalo kama qatar airways lenye maskani yake doha nchi nchini qatar ktk falme za kiarabu(U.A,E) wameamua kuanzisha na kuzindua safari ndefu zaidi ya ndege zao za abiria kutoka doha qatar hadi visiwa newzealand mji wa auckland

bahari ya pasifiki,

Safari hiyo ya kilometa elfu kumi na nnemia tano thelathini na tano(14535) sawa na maili (9032) imechukua masaa kumi na sita na dakika ishirini ( saa16 na dakika 20) moja kwa moja kutoka doha hadi newzealand. 
Aina ya ndege iliyotumika kama boeing 777-200 LR  yenye uwezo wa kubeba abiria 358 kwa safari bila kutua popote hadi kufika newzealand. safari hii ya ndege ndio safari ndefu kabisa ulimwenguni kuwahi kufanywa.

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "QATAR AIRWAYS WAANZISHA SAFARI NDEFU ZAIDI KWA NDEGE YA ABIRIA KUWAHI KUFANYIKA DUNIANI"

Back To Top