
Maeneo yote haya yamekuwa yana hali hiyo ya njaa ikiwa ni tatizo la kutengenezwa na binadamu wenyewe na wala siyo la kiasili,sehemu hizi zote zimekuwa na vita za wenyewe kwa wenyewe kwa muda mrefu ktk kugombea madaraka baina ya waasi na serikalimlakini pia sababu nyingine ilitajwa kuwa ni mabadiliko ya hali ya hewa ktk dunia inafanya kukosekana kupatikana kwa mvua za kutosha na kusababisha ardhi kuwa kame.
Jamii kubwa ya watoto wamekuwa wakiugua magonjwa ya utapiamlo na wengi wanakufa kwa kukosa chakula kabisa,nchi ya naigeria kaskazini kumekuwa na mapambano na kundi la boko haram ambalo linasumbua maeneo hayo kwa muda mrefu,somalia kumekuwa na mapigamo ya koo toka mwaka 1991,yemeni kugombea madaraka.
Hali hii ya kupoteza uhai wa watu wengi kwa kuendekeza maslahi binafsi ya kutaka madaraka imekewa vikali na wala haikubaliki na umoja wa mataifa (UN) kwani inazoletesha maendeleo na kufanya watu kushindwa kufanya shughuli za uzalishaji mali.
0 Comments "NJAA IMEKUWA TATIZO SUGU BARANI AFRIKA NA MASHARIKI YA KATI"