NASA WAGUNDUA SAYARI SABA KUWA NA TABIA YA DUNIA

Utafiti wa hivi karibu wa kituo la mambo ya anga cha maraekani cha (NASA) wamegundua sayari saba ambazo zinzonekana kubadilika kitabia na kuwa na mwenendo wa sayari hii tunayishi yaani dunia. sayari hizi saba zimonekana nje ya mfumo huu wetu wa jua na sayari tulio uzoea  ambao una sayari tisa tu.



Hii inamaana kuwa ule msemo usemao kwamba sayari pekee ambayo viumbe hai wanaweza kuishi ni dunia pekee utafutika karibuni baada ya kuonekana baadhi ya sayari saba kuanza kubadilika kitabia hasa ile ya kuafanya maji yake yaliganda kwa miaka mingi kuanza kuyeyuka taratibu na kuwa kimiminika ambayo ndio maji ambayo wanadamu,wanyama kuweza kutumika kwa urahisi kuendeleza uhai wa viumbe.

Hapo awali ilisemekana sayari pekee na angalau wanadamu wanaweza kwenda kuishi hapo baadae ilikuwa ni sayari ya mars baada kuonekana kuna dalilin za kupata maji,utafiti huu unakuja kwa kuzingatia kuwa wataalam wametabiri kuwa kutokana na mabadiliko ya tabia ya dunia basi itafika mahali watu hawatoweza kuishi tena hapa hivyo ni muhimu kuwepo kwa sayari nyingine kwa kukimbilia na kuishi huko.


Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comments "NASA WAGUNDUA SAYARI SABA KUWA NA TABIA YA DUNIA"

Back To Top