KIPANDE CHA GETI KILICHOIBIWA KUTOKA JELA YA MATESO UJERUMANI CHAPATIKANA

Kipande cha geti ikiwa kama  sehemu ya mlango mkubwa wa chuma ulikuwa ktk moja ya  jela ya mateso ijulikanayo kama (dachau) wakati wa utawala wa Dikteta Adolf hitler alieitawala ujerumanikwa  mkono wa chuma mwaka 1933-1945 baada yan kushindwa ktk vita kuu ya pili ya dunia.
Sehemu hii ya malango yenye  uzito wa kilo mia moja na nane (108) na urefu wa futi sita nukta kumi nan nne(6.14) kilipotea mwaka 2014 na kutoonekana tena hadi kilipotafutwa na kukutwa tena ktk nchi ya Norway,jela au kambi hii ya mateso ya Dachan ilitumika kuweka wafungwa wa kiyahudi na wengine zaidi  laki mbili 200000 n hiia walikufa watu elfu arobaini na moja 41000k ktk kambi hii kutokana na mateso makali yaliokuwa yanatolewa na askari wa kinazi(nazi) chidi ya utawala wa Adolf hitler.
Kipande hiki cha geti kilichopotea zaidi ya miaka miwili sasa kina umri wa mika zaidi ya sabini (70) toka kuundwa kwake..

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "KIPANDE CHA GETI KILICHOIBIWA KUTOKA JELA YA MATESO UJERUMANI CHAPATIKANA"

Back To Top