
Huyu atakuwa kiongozi wa pili kukutwa na makosa hayo ya kutumia pesa za umma kwa kiasi kikubwa kwa manufaa yake binafsi baada ya rais aliyekuwepo kabla yake Jacque shirac aliyeachia madaraka mwaka 2011.
Kesi ya Nicolas sarkozy iko mahakamani inaendelea na ikikutwa na hatia basi atahukumiwa kifungo,kiongozi huyu ambae alishindwa ktk uchaguzi huo na kufuatiwa na rais wa sasa anejulikana kama Francois hollande,Nicolas sarkozy alizaliwa (28/1/1955) kwa sasa ana umri wa miaka 62.
0 Comments "NICOLAS SARKOZY KUSHATAKIWA KWA MATUMIZI MAKUBWA YA PESA KTK KAMPENI ZA UCHAGUZI"