MTANZANIA MMOJA KUTOKA MSUMBIJI APOTEZA UHAI

Mtanzania aliyejulikana kwa jina la Jackline mkazi wa mkoa wa iringa amefariki dunia Jana ktk hospitali ya mkoa mtwara Ligula.
 
Mtanzania huyu ni  miongoni mwa watanzania zaidi ya 2420 ambao bado wanapokelewa wahamiaji  haramu kutoka msumbiji.

Jackline alifikishwa mtwara Mjini akiwa hayuko ktk afya nzuri na kuamua kukimbizwa hospitalini  hapo kwa uchunguzi na matibabu lakini jitihada hizo hazikuzaa matunda na mgonjwa huyo  aliaga dunia mapema Jana.

Madktari wanafanya uchunguzi kujua chanzo cha  ugonjwa uliosababisha kifo chake.
Baada ya hapo jitihada zitafanyika ili kupata Ndugu wa marehemu na kusafirisha mwili kuelekea iringa ambako ndiko yaliko makazi ya marehemu jackline.
Jack line alikwenda msumbiji kwa shughuli za kibiashara.

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comments "MTANZANIA MMOJA KUTOKA MSUMBIJI APOTEZA UHAI"

Back To Top