
Akiongeza kamanda wa polisi mkoa wa mwanza bw,.ahmed msangi kuwa mfanyabiashara huyo alikamatwa jana majira ya saa sita usiku mtaa wa kanyerere butimba wilaya ya nyamagana,aarifa walikwenda kufanya upekuzi huo baada kupata taarifa kutoka kwa raia wema kuwa mfanyabiashara huyo alikuwa ameingiza mzigo kutoka jijini Dar es salaam na ameshaanza kuusambaza.
0 Comments "MFANYABIASHARA JIJINI MWANZA AKUTWA NA MADAWA YA KULEVYA"