
Mateka huyo Jurgen Gustav kantner mwenye umri wa miaka 70 alietekwa akiwa na mkewe nchini humo na mkewe huyo aliuwawa toka mwaka jana.
Rais wa ufilipino Rodrigo Duterte ameomba msamaha kwa kushindwa kuokoa maisha ya mateka huyo,wakati huo huo kansela wa ujerumani bibi Angela markel amehuzunishwa na kitendo hiko cha kuuwawa kwa mateka huyo kwa kuchinjwa.
Kundi hili la waasi limekuwa likisumbua kwa mda mrefu serikali ya ufilipino kwa mda mrefu na kufanya mauaji mengi ya raia wasio na hatia.
0 Comments "MATEKA WA KIJERUMANI ACHINJWA UFILIPINO"