MADAKTARI WALIOHUKUMIWA KIFUNGO KENYA WAACHIWA HURU

Madaktari saba wa kenya walio hukumiwa kifungo cha mwezi mmoja jela juzi jumatatu  kwa kuupuza amri ya mahakama kusitisha mgomo ho mara moja,Leo wameachiwa huru baada hali ya huduma za afya kuzorota kabisa kwa wengi ya wahudumu kutohudhuria vituo vya kazi au kutofanya kazi kabisa.

Wananchi wa kenya wamelalamikia serikali kwa maamuzi hayo ambayo yanaathiri sana sekta ya huduma yza afya na kutaka serrikali kukaa nao chini na kuzungumza kwa kuwapa haki zao,hali ya mgomo imefikia kwa hospitali za bianafsi  kuacha kutibu wagonjwa.

Madaktari hao wameapa kutorudi kazini hadi watakapolipwa stahiki nba posho zao zote wanzaidai serikali toka mwaka 2013 hadi sasa,mgomo huu umeingia mwezi watatu sasa toka kuanza kwake.

Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comments "MADAKTARI WALIOHUKUMIWA KIFUNGO KENYA WAACHIWA HURU"

Back To Top