LORI LAUA MAMA MJAMZITO NA MUMEWE

Ajali ya lori  iliyotokea mkoani mwanza Jana 8/2/2017 imesababisha  Vifo vya mama mjamzito na mumewe ambao walikua ktk usafiri wa baiskeli kandokando ya barabara kuelekea hospitali.
Tukio hilo  limetokea pembezoni mwa jijini mwanza ambapo lori  lenye kontena nyekundu ya futi 40 iliacha njia ikiwa inakwepa gari nyingeni iliyokua inakuja mbele ikionyesha kufeli breki na kuataka kugongana uso  kwa uso,hata hivyo ni kontena na bodi ndio iliyoachia kichwa na kichwa kubaki salama. Mama mjamzito,mume  wote  walipoteza maisha papo hapo.


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "LORI LAUA MAMA MJAMZITO NA MUMEWE"

Back To Top