KOREA KASKAZINI YAONYESHA JEURI DUNIA KWA KUJARIBU BOMU LA NYUKLIA

Wakati waziri mkuu wa japan Shinzo abe akiwa ktk ziara yake ya kibiashara na kirafiki nchini marekani,Taifa la jirani la japan na korea kusini wamemepata vitisho kutoka koea kaskazini ambae ni adui yao mkubwa anaetishia uhai na usalam wa mataifa hayo mawili ambayo yanalindwa kwa nguvu zote na hasimu wao mkubwa marekani.

Korea kaskazini imejaribu bomu hilo la nyuklia (Nuclear ballistic missile) ambalo lina uwezo wa kusafiri kilometa zaidi ya mia tano na hamsini (550) sawa na maili (300)  sawa na uwezo wa kufika nchi ya japan,bomu hilo limejaribiwa  siku ya jumamosimmuda wa saa mbili asubuhi(8:00 a.m) saa za korea sawa na saa tano usiku(23:00) saa za GMT.

Mtawala wa taifa hilo kwa sasa Kim jong un alierithi kutoka kwa baba yake Kim jong il anajaribu kuwaonyesha washirika wa marekani  kama japan na korea kusini  na kumkaribisha rais mpya wa marekani Donald trump kuwa taifa lao lina nguvu za kijeshi na kitknologia hivyo sio wa kuchezea kabisa.
Taifa hili la korea kaskazini jana walikuwa ktk ksheherekea mwaka wa sabini na tano(75) wa uhuru wao,washajaribu mabomu mengi ambayo baadhi yao yalifeli kufika lengo,mpango wa wa taifa hilo ni kutengeneza bomu kubwa zaidi litakaloweza kusafiri zaidi ya kilometa elfu kumi(10000) sawa na maili (5500) ili kuwa na uwezo wa kufika na kupiga  miji ya washington dc marekani,tokyo japan na seoul mji wa korea kaskazini,

Rais wa marekani amekemea na kulaumu san kitendo hiko cha korea kaskazini kujaribu bomu hilo na kusema hakikubaliki kabisa kwani dunia inakataa matumizi ya silaha hizo hatari kwa dunia,bomu hili lilijaribiwa wakati wakiwa mda wa chakula chan usiku na mshirika wake wa japan shinzo abe ambao ni washirka watatu wakubwa kibiashara na marekani.


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "KOREA KASKAZINI YAONYESHA JEURI DUNIA KWA KUJARIBU BOMU LA NYUKLIA"

Back To Top