
Wasimamizi wa makampuni hayo makubwa duniani yamefanya tathimini juu ya kushuka kwa mauzo hayo ktk bidhaa zao zote ikiwemo na kujenga miundombinu na mitumbo ya nyuklia ya kuazalisha nishati ya umeme,utengenezaji wa injini za ndege.
Toshiba wamepata hasara ya dola za kimerekani zaidi ya bilioni (6.3) na rolls royce zaidi ya dola bilioni (5.8).
0 Comments "KAMPUNI ZA TOSHIBA NA ROLLS ROYCE ZAPATA HASARA KUBWA"