JEFF SESSIONS ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU MAREKANI

Seneta wa jimbo la  Alabama bwana Jeff sessions ameteuliwa na rais  trump kuwa mwanasheria Mkuu wa tafa hilo.

Jeff sessions ambae anahudumu kwa kupitia chama cha republican amezaliwa 24/12/1946 na kwasasa ana umri wa miaka (70)

Mary blackshear ndio mke wa  mwanasheria Jeff sessions.


Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "JEFF SESSIONS ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU MAREKANI"

Back To Top