CHILE:SANTIAGO WAKOSA MAJI SAFI YA KUNYWA BAADA YA MAFURIKO

Mvua zilizonyesha mwishoni mwa wiki iliyopita imepepelekea mamilioni ya watu waishio ktk mji mkuu wa nchi ya chile santiago kuishi bila ya kua na maji safi na salama kwa matumizi yao ya kila siku.

Zaidi ya watu watatu 3 wanalipotiwa kufa na 19 kupotea kutokana na mafuriko  hayo yalio haribu miundombinu ya barabara,kukata milima,mito kufurika na kuachga njia zake za asili,nuzo za umeme kuanguka,nyumba kubomoka,visima nan mabomba ya maji kuzolewa,magari kuchukuliwa.

Watu zaidi ya 400 wamezuiwa juu ya milima bada ya maji kutenganisha kwa kukata njia iliyokuwa ikutumika.

Raia wameonekana kutumia maji ya dukani zaidi ktk shughuli zao zote kwa kuhofia kupata magonjwa kwa kutumia maji yapitayo.



Share :

Facebook Twitter Google+ Lintasme

Related Post:

0 Comments "CHILE:SANTIAGO WAKOSA MAJI SAFI YA KUNYWA BAADA YA MAFURIKO"

Back To Top