
Baada ya kuhukumiwa kifungo hiko mwaka 2010 mwaka huu aliita timu ya madaktari ili kumuangalia afya yake na ndipo madaktari walipotoa ripoti kuw afya ya takayama ni dhaifu sana hivyo si vyema endapo ataendelea kukaa jela kwani anaweza kupoteza uhai.
Baada ya ripoti hiyo takayama aliachiwa na kupata kifungo cha nnje kwa mda lakini timu ya madaktari wengine walipomchunguza kwa kina waligundua kuwa takayama haumwi kwa kiasi hiko hivyo ni mbinu za hila ambazo zilitumika ili kumtoa kiongozi huyo nje.takayama alikamtwa na kurudishwa jela kuendelea na kifungo chake.
Magenge haya ya kihalifu yamesumbua sana serikali ya japani toka miaka ya 1980 kwa kuongoza kufanya mambo ya kihuni,mauji,uporaji,ubakaji na kila aina ya mambo mabaya.
0 Comments "BOSI WA KUNDI LA YAKUZA JAPAN AKAMATWA NA KURUDISHWA TENA JELA"