Adama barrow kiongozi wa taifa la gambia amemfukuza kazi mkuu wa majeshi Bw,. Ousman Badjie mapema kwa kile kinachozaniwa ni kuwa mtii aidi kwa rais Yahya jammeh aliyeikimbia nchi hivi karibuni baada ya kugomea ushindi wa mpinzani wake adama barow aliyeshinda kihalali.
0 Comments "ADAMA BARROW AMFUKUZA KAZI MKUU WA MAJESHI"