Leo tarehe 29/1/2017 treni ya abiri iliyokuwa ikitokea mkoni kigoma imepata ajali baada kuacha njia na kuangusha mabehewa yapatayo matano.
Ajali hiyo imetokea ruvu wilaya ya kibaha mkoa wa pwani majiara ya saa 11:15 jioni ikielekea jijini Dar es salaam.
Mashuhuda wa ajali hiyo wamesema kuwa watu baina ya 10-20 walitolewa ndani ya mabehewa hayo wakiwa hawajitbui Ila haijaripotiwa kifo cha mtu yeyote kutokana na ajali hiyo.
Treni hii delux ni ile mpya iliyonunuliwa nchini India kwa kuahakikisha wanaboresha usafiri wa reli kwa mikoa ya bara ambayo wakazi wengi wa huko utumia usafiri huo kutokana na urahisi wake ktk bei.
0 Comments "TRENI YA ABIRIA YAPATA AJALI MKOANI PWANI"