SHAMBULIO LA KIGAIDI KTK MSIKITI MJINI QUEBEC

Leo hii jumatatu 30/1/2017 limeshuhudiwa shambulizi la kigaidi ktk msikiti mmoja huko quebec nchini canada,msikiti huo ambao upo ndani ya kituo cha tamaduni za kiislamu ulishamuliwa na vijana wawili wa kiume waliobeba bunduki na kuzifyatua kuelekea watu hovyohovyo.
Magaidi hao kwa walifanikiwa kuua watu sita ambao wote ni jinsia ya kiume,taarifa za awali zinzonyesha magaidi hao wawili wana asili ya nchi ya morocco waliofahamika kwa majina ya mohammed khadir na alexander bissomete.
Mashambulizi hayo yalifanyika ktk swala ya usiku kama ilivyoelezwa na moja wa kit
uo hiko bwana mohammed yangui.

Share :

Facebook Twitter Google+
0 Comments "SHAMBULIO LA KIGAIDI KTK MSIKITI MJINI QUEBEC"

Back To Top